Msingi wa pili
Jifunze kuwa na mpango kazi wako unaoeleweka wenye kuanisha namna ya
kufanikisha jambo lako ukimuhusisha na Mungu pia, kwa kufanya hivyo itakupa
Njia ya kujua muda wa jambo
kukamilika
Aina ya resources utakazotumia(Both
human and materials)
Kuandaa objectives(specifically with
time framing) juu ya jambo hilo
Kujua namna ya kuanisha risks and
uncertainty zitakazo emerge ndani ya jambo na aidha kutumia hiyo changamoto
kama fursa kwako au ku push kwa namna ya Mungu atakavyokuongoza (Kwenye Neno la
Mungu hakuna msamiati wa “Kutokuwezekana ila Yote yawezekana kwake Yeye
aaminiye)(soma Zaburi 32:8, Isaya 41:18, 43:19-21)
Si mnakumbuka safari ya wana wa
Israeli kila walipokutana na pingamizi njiani Mkono wa Bwana ulikuwa juu yao.
Ebu tutazame hapa (Ujenzi wa
mnara)
Luka 14:28-30 “Maana ni nani katika
ninyi, kama akitaka kujenga mnara asiyetaka kwanza na kuhesabu gharama kwanza
anavyo vya kumaliza”(Mpango mkakati uliofichwa ndani yake utendaji wa kazi
kulingana na Gharama or “Well defined and measurable objectives extracted from
the visions”)
Asije akashindwa kuumaliza baada ya
kuupiga msingi, watu wote waonao wakaanza kumdhihaki, 30 Wakisema mtu huyu
alianza kujenga , AKAWA HANA NGUVU ZA KUMALIZA”
Tazama pia Ujenzi wa safina
(allocations of resources) na nyumba ya Bwana walivyopangilia kimaelekezo kabla
ya kuanza kwa hizo Projects